Thursday, December 1, 2016

SHULE AMABAYO HUFIKIWA KWA NGAZI HUKO CHINA...DAH KUMBE KWA NAMNA HII SIJUI KAMA WANAELEWA WAKIFIKA

Kijiji cha Atuler kimepewa jina la utani "kijiji cha mwamba". Kijiji hiki hupatikana mita 800 juu kwenye nyika eneo la Sichuan, China. Wanaoishi hapa ni watu wa jamii ya Yi, ambao pia hupatikana Vietnam na Thailand


Kijiji cha Atuler


Hadi kufikia sasa, kulikuwa na ngazi 17 za mbao ambayo ilikuwa njia pekee ya wakazi wa kijiji hiki kutoka nje ya kijiji chao. Kupanda ngazi hizi lilikuwa jambo hatari na watu zaidi ya saba walifariki wakizikwea, wakazi wanasema.

Kijiji cha Atuler

Msafara wa harusi ngazi ya kwenda kijiji cha Atuler


Msichana wa kijiji cha Atuler

Sasa, ngazi ya chuma imejengwa kurahisisha safari yao. Lakini bado ni shughuli hatari, ingawa muda wanaotumia kupanda na kushuka umepungua

Watoto wa Atuler wakipanda ngazi

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname